Joshua 15:13

Nchi Aliyopewa Kalebu

(Waamuzi 1:11-15)

13 aKwa kufuata maagizo ya Bwana kwake, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune sehemu katika Yuda: Kiriath-Arba, yaani Hebroni (Arba alikuwa baba wa zamani wa Anaki).
Copyright information for SwhNEN